forked from WA-Catalog/sw_tn
4 lines
161 B
Markdown
4 lines
161 B
Markdown
|
# Jitie nguvu mwenyewe, na usubiri mpaka alasiri
|
||
|
|
||
|
Baba mkwe alitoa mawazo kuwa ajipe nguvu kwa kula chakula. Pia alimuomba asubirie mpaka alasiri ndipo aondoke.
|