forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
664 B
Markdown
40 lines
664 B
Markdown
|
# Alisukuma kwa nguvu zake
|
||
|
|
||
|
"alitumia nguvu zake kusukuma nguzo"
|
||
|
|
||
|
# Waliouawa
|
||
|
|
||
|
"watu waliokufa"
|
||
|
|
||
|
# walikuwa zaidi
|
||
|
|
||
|
"idadi yao ilikuwa kubwa sana"
|
||
|
|
||
|
# nyumba yote ya baba yake
|
||
|
|
||
|
"familia yote ya baba yake"
|
||
|
|
||
|
# Kisha ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka
|
||
|
|
||
|
"Walishuka" kwa sababu sehemu ambayo familia ya Samsoni walitoka ilikuwa juu ya Gaza.
|
||
|
|
||
|
# Sora ... Eshtaoli
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali.
|
||
|
|
||
|
# mahali pa kuzikwa Manoa, baba yake
|
||
|
|
||
|
"mahali alipozikwa Manoa baba yake"
|
||
|
|
||
|
# Manoa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini
|
||
|
|
||
|
"Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini kabla hajafa"
|
||
|
|
||
|
# Miaka ishirini
|
||
|
|
||
|
"miaka 20"
|