forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
468 B
Markdown
24 lines
468 B
Markdown
|
# Watu wa Efraimu walitoka pamoja
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Efraimu waliitwa pamoja" au "Watu wa Efraimu waliwakusanya askari wao"
|
||
|
|
||
|
# Zafoni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|
||
|
# wakapitia ... umetangulia
|
||
|
|
||
|
"kusafiri kupitia" au "kusafiri"
|
||
|
|
||
|
# Tutachoma nyumba yako.
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha tutachoma moto nyumba yako na watu walioko ndani.
|
||
|
|
||
|
# Nilipokuita,
|
||
|
|
||
|
Hii imetumika kama wingi ikimaanisha watu wa Efraimu.
|
||
|
|
||
|
# hukuniokoa
|
||
|
|
||
|
Hapa Yeftha anawaelezea watu wa Gileadi kama yeye mwenyewe. "hamkutuokoa sisi"
|