forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
631 B
Markdown
24 lines
631 B
Markdown
|
# Ngoma
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kifaa cha muziki kinachopigwa kwa kutumia vipande vya chuma.
|
||
|
|
||
|
# alirarua nguo zake
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kitendo cha kuonesha kuomboleza au huzuni kubwa.
|
||
|
|
||
|
# Umenivunja kwa huzuni ... umekuwa mtu anayenisababishia maumivu yangu
|
||
|
|
||
|
"Yeftha anazungumza kitu kile kile kusistiza ni kwa kiasi gani aamehuzunika"
|
||
|
|
||
|
# Umenivunja kwa huzuni
|
||
|
|
||
|
Yeftha anaizungumzia huzuni yake kama vile kitu kilichovunjwa. "Umenisababishia huzuni kubwa"
|
||
|
|
||
|
# umekuwa mtu anayenisababishia maumivu yangu
|
||
|
|
||
|
Yeftha anazungumza juu ya shida aliyonayo akiifananisha na maumivu.
|
||
|
|
||
|
# siwezi kurudisha ahadi yangu.
|
||
|
|
||
|
Yeftha hawezi kuacha kufanya alichoahidi kukifanya.
|