forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
450 B
Markdown
28 lines
450 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Mjumbe wa Yeftha anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Israeli walipotuma wajumbe
|
||
|
|
||
|
Wajumbe hawa walitumwa na viongozi wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kupita
|
||
|
|
||
|
"kipitia" au "kukatisha"
|
||
|
|
||
|
# Walikataa
|
||
|
|
||
|
"kukataa" au "kutosikiliza ombi lao"
|
||
|
|
||
|
# Wakawatuma wajumbe kwa mfalme wa Moabu
|
||
|
|
||
|
"pia walituma wajumbe kwa mfalme wa Moabu juu ya ombi hilo hilo"
|
||
|
|
||
|
# lakini akakataa
|
||
|
|
||
|
Mfalme wa Moabu alikataa ombi la Waisraeli kupita katika Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Arnoni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mto.
|