forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
332 B
Markdown
16 lines
332 B
Markdown
|
# kupigana nao
|
||
|
|
||
|
"kuwavamia"
|
||
|
|
||
|
# jiwe la juu
|
||
|
|
||
|
Mawe makubwa mawili yaliyokuwa yanatumika kusagia nafaka. Jiwe la juu ni lile lililokuwa juu ambalo lilizungushwa ili kusaga nafaka.
|
||
|
|
||
|
# mbeba silaha
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtu aliyekuwa anabeba silaha za Abimeleki.
|
||
|
|
||
|
# akamchoma
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa kijana alichomeka upanga kwenye mwili wa Abimeleki.
|