forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
458 B
Markdown
28 lines
458 B
Markdown
|
# Zebuli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# aliposikia maneno ya Gaali, mwana wa Ebedi
|
||
|
|
||
|
"maneno" inawakilisha kile alichokisema.
|
||
|
|
||
|
# Gaali ... Ebedi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# hasira yake ikawaka
|
||
|
|
||
|
Kitendo cha kuwa na hasira kinafananishwa na moto unaoanza kuwaka.
|
||
|
|
||
|
# ili wapate kudanganya
|
||
|
|
||
|
Zebuli anamdanganya Gaali na watu wa Shekemu.
|
||
|
|
||
|
# nao wanauchochea mji dhidi yako
|
||
|
|
||
|
"wanawashawishi watu wa mji waasi dhidi yako"
|
||
|
|
||
|
# mji
|
||
|
|
||
|
"mji" inawakilisha watu wa mjini.
|