forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
530 B
Markdown
20 lines
530 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yotamu anaendelea kuelezea fumbo ambapo miti inawakilisha makundi mbalimbali ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Mti ukasema
|
||
|
|
||
|
Mti unafananishwa na mtu anayeweza kusikia na kuongea.
|
||
|
|
||
|
# Mzabibu
|
||
|
|
||
|
Mzabibu unafananishwa na mtu anayeweza kusikia na kuongea.
|
||
|
|
||
|
# Je, nitaacha divai yangu mpya ... juu ya miti mingine?
|
||
|
|
||
|
Mzabibu unauliza swali la kukataa kuwa na huruma. "Sitaacha divai yangu mpya ... juu ya miti mingine."
|
||
|
|
||
|
# Mti wa miiba
|
||
|
|
||
|
Hii ni miida ambayo ina ncha kali sana inayoumiza. kichaka hiki kina miiba mingi katika matawi yake.
|