forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
532 B
Markdown
28 lines
532 B
Markdown
|
# Ndugu za mama yake waliongea kwa niaba yake kwa viongozi
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba ndugu za mama yake Abimeleki walizungumza na viongozi, wakapendekeza wamfanye Abimeleki kuwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# wakakubali kumfuata Abimeleki
|
||
|
|
||
|
"wakakubali Abimeleki awe kiongozi wao"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba
|
||
|
|
||
|
"nyumba" inawakilisha hekalu.
|
||
|
|
||
|
# vipande sabini vya fedha
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha shekeli. Shekeli ina uzito wa gramu 11. "karibia kilo moja ya fedha"
|
||
|
|
||
|
# Sabini
|
||
|
|
||
|
"70"
|
||
|
|
||
|
# Baali Berith
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mungu wa uongo.
|
||
|
|
||
|
# wasio na sheria na wajinga
|
||
|
|
||
|
"wakorofi na wajinga"
|