forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
327 B
Markdown
20 lines
327 B
Markdown
|
# Kavamie kambi, kwa maana nitakupa ushindi juu yake
|
||
|
|
||
|
"kambi" inamaana ya jeshi zima la Wamidiani.
|
||
|
|
||
|
# Anaogopa kushuka
|
||
|
|
||
|
"anaogopa kwenda chini kuvamia"
|
||
|
|
||
|
# Pura
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume
|
||
|
|
||
|
# ujasiri wako utaimarishwa
|
||
|
|
||
|
"Na unayoyasikia yatakupa ujasiri"
|
||
|
|
||
|
# Sehemu ya walinzi
|
||
|
|
||
|
Sehemu ambayo askari husimama kutizama jeshi la adui.
|