sw_tn/jas/03/03.md

28 lines
954 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Ikiwa tunaweka rijamu kwenye midomo ya farasi.
Yakobo anazungumza kuhusu rijamu za farasi. Rijamu ni kipande kidogo cha chuma kinaachowekwa katika mdomo wa farasi ili kumuongoza kule anakoelekea.
# Sasa ikiwa
"Kama" au "Endapo"
# Farasi
"Farasi" ni mnyama mkubwa anayetumika kubeba vitu au watu. "endapo tunaweka rijamu katika vinywa vya farasi"
# Tazama pia kwamba meli...huendeshwa kwa usukani mdogo sana.
"Meli" ni kama gari kubwa linaloelea juu ya maji. "Usukani"ni kipande kidogo cha mti au cha chuma kilicho nyuma ya meli kinachotumika kuiongoza meli kule inakoelekea. Neno "usukani" lingeweza kutafsiriwa kama "kifaa".
# Maelezo ya jumla
Yakobo anajaribu kukuza mjadala juu ya vitu vidogo kutawala vitu vikubwa.
# Zinasukumwa na kwa upepo mkali.
"Upepo mkali unazisukuma"
# Zinaendeshwa kwa usukani mdogo sana popote nahodha atakapotaka kugeuka.
"Uwe na kifaa kidogo ambacho mtu anaweza kukitumia kuongozea meli mahali iendakako."