forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
954 B
Markdown
28 lines
954 B
Markdown
|
# Ikiwa tunaweka rijamu kwenye midomo ya farasi.
|
||
|
|
||
|
Yakobo anazungumza kuhusu rijamu za farasi. Rijamu ni kipande kidogo cha chuma kinaachowekwa katika mdomo wa farasi ili kumuongoza kule anakoelekea.
|
||
|
|
||
|
# Sasa ikiwa
|
||
|
|
||
|
"Kama" au "Endapo"
|
||
|
|
||
|
# Farasi
|
||
|
|
||
|
"Farasi" ni mnyama mkubwa anayetumika kubeba vitu au watu. "endapo tunaweka rijamu katika vinywa vya farasi"
|
||
|
|
||
|
# Tazama pia kwamba meli...huendeshwa kwa usukani mdogo sana.
|
||
|
|
||
|
"Meli" ni kama gari kubwa linaloelea juu ya maji. "Usukani"ni kipande kidogo cha mti au cha chuma kilicho nyuma ya meli kinachotumika kuiongoza meli kule inakoelekea. Neno "usukani" lingeweza kutafsiriwa kama "kifaa".
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yakobo anajaribu kukuza mjadala juu ya vitu vidogo kutawala vitu vikubwa.
|
||
|
|
||
|
# Zinasukumwa na kwa upepo mkali.
|
||
|
|
||
|
"Upepo mkali unazisukuma"
|
||
|
|
||
|
# Zinaendeshwa kwa usukani mdogo sana popote nahodha atakapotaka kugeuka.
|
||
|
|
||
|
"Uwe na kifaa kidogo ambacho mtu anaweza kukitumia kuongozea meli mahali iendakako."
|