sw_tn/isa/66/20.md

8 lines
252 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Wataleta
Hapa "wataleta" ina maana ya wageni ambao walisalia na kushuhudia mataifa. Watarudi Yerusalemu na walio uhamishoni wa Israeli.
# mlima mtakatifu
"Mlima mtakatifu" ni Mlima Sayuni, katika Yerusalemu. "katika mlima mtakatifu wote wa Yahwe"