sw_tn/isa/66/17.md

20 lines
549 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Isaya anaendelea kuzungumza.
# Wanajiweka wakfu
"Wanajiweka" ni wale ambao huabudu Yahwe lakini wanaenda kinyume na sheria zake.
# kuingia katika bustani
Hii ni sehemu ambapo watu wataenda kuabudu sanamu.
# yule aliye katikati
Hii inafafanua kionogzi wa wale ambao huenda kuabudu sanamu.
# tamko la Yahwe
Hii inaweza kuandikwa upya ili kwamba nomino dhahania "tamko" linaelezwa kama kitenzi "kutamka" au "alisema kwa dhati". "hiki ndicho Yahwe wa majeshi alvyotamka" au "hiki ndicho Yahwe wa majeshi alivyosem kwa dhati"