forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
356 B
Markdown
12 lines
356 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza kwa wale wa Israeli ambao huabudu sanamu.
|
||
|
|
||
|
# amekukusudia kwa ajili ya upanga
|
||
|
|
||
|
"Upanga" inawakilisha silaha za vita ambazo Yahwe atatumia kuafhibu wale ambao hawaitikii wito wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# nilipoita, haukujibu; nilipozungumza, haukusikiliza
|
||
|
|
||
|
Vishazi vyote vina maana moja na vinarudiwa kwa ajili ya msisitizo.
|