forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
646 B
Markdown
16 lines
646 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanaendelea kuzungumza na Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Miji yako mitakatifu imekuwa nyika
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza ya kwamba miji imeangamizwa na hakuna aishiye kule.
|
||
|
|
||
|
# Hekalu letu takatifu na zuri, ambapo baba zetu walikusifu, limeangamizwa kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Adui ameangamiza hekalu letu takatifu na zuri, pale ambapo baba zetu walikusifu, kwa moto"
|
||
|
|
||
|
# Unawezaje kujizuia, Yahwe? Unawezaje kukaa kimya na kuendelea kutudhalilisha?
|
||
|
|
||
|
Wanatumia maswali kuelezea kukata tamaa kwao kwa sababu Mungu bado hajaja kuwasaidia. "Tafadhali usijizuie, Yahwe! Tafadhali usikae kimya na kuendelea kutuaibisha!"
|