forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
412 B
Markdown
12 lines
412 B
Markdown
|
# Walisema
|
||
|
|
||
|
"tulisema". Hapa "walisema" ina maana ya watu wa Israeli. Isaya anajijumlisha kama mwanajumuiya wa watu.
|
||
|
|
||
|
# ambaye aliwatoa kutoka katika baharii
|
||
|
|
||
|
Simulizi ya Yahwe kugawanya maji ya Bahari ya Matete kimiujiza ili kwamba Waisraeli waweze kuvuka na kuwatoroka Wamisri ni taarifa inayosadikiwa.
|
||
|
|
||
|
# wchungaji wa kundi lake
|
||
|
|
||
|
Viongozi mara nyingine wanajulikana kama "wachungaji". "viongozi wa watu wake"
|