forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
383 B
Markdown
12 lines
383 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kumfafanua mtumishi wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Sisi wote kama kondoo wamepotoka
|
||
|
|
||
|
Kondoo mara kw mara huacha njia ambayo mchungaji huwaongoza. Isaya ana maana ya kwamba tunafanya kile tunachotaka badala ya kile Mungu anavyoamuru.
|
||
|
|
||
|
# udhalimu wetu wote
|
||
|
|
||
|
"Udhalimu" hapa unawakilisha hatia kwa ajili ya dhambi yetu. "hatia kwa ajili ya dhambi ya kila mmoja wetu"
|