forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
510 B
Markdown
20 lines
510 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kufafanua mtumishi wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Alidharauliwa na kukataliwa na watu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu walimchukulia kuwa si kitu na kumkataa"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwenye huzuni
|
||
|
|
||
|
"mwanamume ajuaye kila aina ya huzuni"
|
||
|
|
||
|
# kwa watu ambao huficha nyuso zao
|
||
|
|
||
|
"Uso" inawakilisha dhamira ya mtu au jumuiya. Kuficha uso wa mtu kugeuka kutoka kwa mtu. "kwa watu ambao wanageuka"
|
||
|
|
||
|
# alidharauliwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "walimchukulia kutokuwa na thamani"
|