forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
785 B
Markdown
20 lines
785 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Hawatakuwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "hawatakuwa" ina maana ya watu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# wala joto au jua kupiga juu yao
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "joto" linaelezea neno "jua". Watu kuteseka kutoka na joto la jua inazungumziwa kana kwamba joto liliwapiga. "wala hawatateseka kutokana na joto la jua"
|
||
|
|
||
|
# kwa maana yeye ambaye ana rehema juu yao ... atawaongoza
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia mwenyewe katika mtu wa tatu. Anazungumzia kuwalinda watu na kuwatunza kana kwamba alikuwa mchungaji wao. "Mim, yule ambaye ana huruma juu yao ... nitawaongoza"
|
||
|
|
||
|
# Nitafanya milima yangu yote kuwa njia, na kufanya njia zangu kuu kuwa usawa
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza kuwaongoza watu wake kwa usalama na kuondoa vikwazo kutoka katika njia yao kana kwamba aligeuza milima kuwa njia na kusawazisha njia kuu.
|