forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
343 B
Markdown
12 lines
343 B
Markdown
|
# Mkombozi
|
||
|
|
||
|
Mkombozi wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# kwa yule ambaye maisha yake yanadharauliwa, anayechukiwa na mataifa, na mtumwa wa watawala
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "maisha" linawakilisha mtu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa yule ambaye watu walidharau, ambaye mataifa walichukia na kuwashika kama watumwa"
|
||
|
|
||
|
# Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Mtakatifu wa Israeli
|