forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
703 B
Markdown
24 lines
703 B
Markdown
|
# Kauli Kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na Babeli kuhusu anguko lake kana kwamba alikuwa malkia ambaye ameaibishwa.
|
||
|
|
||
|
# wewe upendaye anasa
|
||
|
|
||
|
"wewe mwenye starehe". Hii ina maana ya starehe nyingi ambazo Babeli alifurahia.
|
||
|
|
||
|
# kwa imara
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya dhana ya usalama ya uongo ya Babeli katika kuwaza ya kwamba hatapoteza nafasi yake ya utajiri na heshima. "unayedhani upo salama"
|
||
|
|
||
|
# Sitawahi kukaa kama mjane ... kupotewa kwa watoto
|
||
|
|
||
|
Babeli kuamini ya kwamba mataifa mengine hawataweza kumshinda inazungumziwa kana kwamba hatawahi kuwa mjane au hatawahi kufiwa na watoto.
|
||
|
|
||
|
# Sitawahi kukaa kama mjane
|
||
|
|
||
|
"Sitawahi kuwa mjane"
|
||
|
|
||
|
# katika muda mmoja katika siku moja
|
||
|
|
||
|
"ghafla katika wakati mmoja"
|