forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
412 B
Markdown
20 lines
412 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Mtakatifu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# Nimetuma Babeli na kuwaongoza wote chini
|
||
|
|
||
|
Kitu cha kitenzi "tuma" kinaweza kutumika katika tafsiri. "Ninatuma jeshi Babeli"
|
||
|
|
||
|
# kuwaongoza wote chinii kama wakimbizi
|
||
|
|
||
|
"ongoza Wababeli wote chini kama wakimbizi"
|
||
|
|
||
|
# wakimbizi
|
||
|
|
||
|
Mkimbizi ni mtu ambaye hukimbia mbali ili adui yake asiweze kumkamata.
|