forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
372 B
Markdown
12 lines
372 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Utazitupa mbali kama kitambaa cha hedhi
|
||
|
|
||
|
Tashbihi hii ina maana watatupa mbali sanamu zao kana kwamba zilikuwa takataka.
|
||
|
|
||
|
# Utasema kwao, "Ondoka hapa"
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia sanamu kana kwamba zinaweza kusikia na kuinuka na kuondoka mahali. Yahwe ana maana ya kwamba watu hawatahitaji au kutaka tena sanamu.
|