forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
553 B
Markdown
20 lines
553 B
Markdown
|
# kutakuwa na barabara
|
||
|
|
||
|
Barabara ni njia kubwa ambayo watu wanaweza kusafiri
|
||
|
|
||
|
# Muashuru atakuja
|
||
|
|
||
|
"Muashuru" ina maana ya mtu kutoka Ashuru lakini inawakilisha yeyote kutoka Ashuru ambaye anatoka Misri. "Waashuru atakuja"
|
||
|
|
||
|
# na Mmisri mpaka Ashuru
|
||
|
|
||
|
Neno "atakuja" linaeleweka. "na Mmisri atakuja mpaka Ashuru"
|
||
|
|
||
|
# Mmisri
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya mtu kutoka Misri, lakini inawakilisha yeyote kutoka Misri ambaye anakuja Ashuru. "Wamisri"
|
||
|
|
||
|
# Mmisri ataabudu pamoja na Waashuru
|
||
|
|
||
|
Kitu cha ibaada yao kinaweza kuwekwa wazi. . "Wamisri na Waashuru watamwabudu Yahwe"
|