forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
902 B
Markdown
24 lines
902 B
Markdown
|
# Kwa hiyo Yahwe atamuinua dhidi yake Resini, mshindani wake
|
||
|
|
||
|
Hapa "Resini" inawakilisha jeshi lake. "Kwa hiyo, Yahwe atamleta Resini na jeshi lake dhidi ya watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Resini
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# na atawatikisa maadui zake
|
||
|
|
||
|
Msemo "tikisa" ni lahaja ambayo ina maana ya kuwachochea kushambulia. "na Yahwe atasababisha adui wa Israeli kushambulia"
|
||
|
|
||
|
# Watameza Israeli kwa mdomo wazi
|
||
|
|
||
|
"Kumeza" ni jinsi ambavyo wanyama pori hula mawindo. "Kama mnyama mwitu anavyokula mawindo yake, jeshi la adui litaangamiza watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Katika vitu hivi vyote, hasira yake haipungui; badala yake, mkono wake
|
||
|
|
||
|
"Hata kama vitu hivi vyote vimetokea, bado ana hasira, na mkono wake"
|
||
|
|
||
|
# mkono wake bado unanyoshwa nje
|
||
|
|
||
|
Isaya anazungumza kana kwamba Yahwe alikuwa mtu ambaye anataka kumpiga mtu mwingine kwa ngumi yake. Hii ni sitiari kwa ajili ya Yahwe kuadhibu Israeli. "atakuwa tayari kuwaadhibu"
|