forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
478 B
Markdown
12 lines
478 B
Markdown
|
# Kwa hiyo
|
||
|
|
||
|
unaweza kufafanunua "neno "Kwa hiyo" linachomaanisha. AT: " Kwa sababu Kristo ni kuhani wetu mkuu anayeishi milele"
|
||
|
|
||
|
# wale wanaomkaribia Mungu
|
||
|
|
||
|
"wale wanaokuja kwa Mungu kwa sababu ya kile Yesu alichofanya"
|
||
|
|
||
|
# ametukuka zaidi kuliko mbingu
|
||
|
|
||
|
"na Mungu amemuinua juu kupita mbingu." Mwandishi anaongelea kumiliki heshima zaidi na nguvu zaidi ya mtu yeyote kana kwamba ni nafasi ambayo ni zidi ya vitu vyote. AT: "na Mungu amempaheshima na nguvu kuliko mtu yeyote"
|