forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
529 B
Markdown
20 lines
529 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yakobo anaendelea kumbariki Yusufu na uzao wake.
|
||
|
|
||
|
# atakusaidia ... atakubariki
|
||
|
|
||
|
Hapa "atakusaidia" ina maana ya Yusufu inayomaanisha uzao wake. "saidia uzao wako ... wabariki"
|
||
|
|
||
|
# baraka za mbinguni juu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mbinguni juu" ina maana ya mvua ambayo husaidia mazao kuota.
|
||
|
|
||
|
# baraka za vilindi vilivyo chini
|
||
|
|
||
|
Hapa "chini" ina maana ya maji chini ya ardhi ambayo hutosheleza mito na visima.
|
||
|
|
||
|
# baraka za maziwa na tumbo
|
||
|
|
||
|
Hapa "maziwa na tumbo" ina maana ya uwezo wa mama kupata watoto na kuwanyonyesha maziwa.
|