sw_tn/gen/49/24.md

32 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Yakobo anaendelea kumbariki Yusufu na uzao wake.
# upinde wake utakuwa imara
Mtu anayeshikilia upinde kwa umakini inazungumziwa kana kwamba uoinde mwenyewe utakuwa imara. Inasemekana anaushikilia kwa ustadi anapopima kwa adui wake. "ataushika upinde wake kwa uimara anapolenga adui wake"
# upinde wake ... mikono yake
Hapa "wake" ina maana ya Yakobo anayesimama badala ya uzao wake. "upinde wake .. mikono yake"
# mikono yake itakuwa hodari
Hapa "mikono" ina maana ya mikono ya mtu anaposhikilia upinde wake kwa makini. "mikono yake utabaki imara anapolenga upinde wake"
# mikono ya Mwenye nguvu
"mikono" inaelezea nguvu ya Yahwe. "nguvu ya Mwenye Nguvu"
# kwa ajili ya jina la Mchungaji
Hapa "jina" lina maana ya mtu mzima. "kwa sababu ya Mchungaji"
# Mchungaji
Yakobo anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa "mchungaji". Hii inasisitiza ya kwamba Yahwe anawaongoza na kuwalinda watu wake.
# Mwamba
Yakobo anazungumzia kuhusu Yahwe kana kwamba alikuwa "Mwamba" ambao watu wanaweza kuupanda kutafuta usalama kutoka kwa maadui. Hii inasisitiza ya kwamba Yahwe hulinda watu wake.