forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yakobo anaendelea kumbariki Yusufu na uzao wake.
|
||
|
|
||
|
# upinde wake utakuwa imara
|
||
|
|
||
|
Mtu anayeshikilia upinde kwa umakini inazungumziwa kana kwamba uoinde mwenyewe utakuwa imara. Inasemekana anaushikilia kwa ustadi anapopima kwa adui wake. "ataushika upinde wake kwa uimara anapolenga adui wake"
|
||
|
|
||
|
# upinde wake ... mikono yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "wake" ina maana ya Yakobo anayesimama badala ya uzao wake. "upinde wake .. mikono yake"
|
||
|
|
||
|
# mikono yake itakuwa hodari
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" ina maana ya mikono ya mtu anaposhikilia upinde wake kwa makini. "mikono yake utabaki imara anapolenga upinde wake"
|
||
|
|
||
|
# mikono ya Mwenye nguvu
|
||
|
|
||
|
"mikono" inaelezea nguvu ya Yahwe. "nguvu ya Mwenye Nguvu"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya jina la Mchungaji
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" lina maana ya mtu mzima. "kwa sababu ya Mchungaji"
|
||
|
|
||
|
# Mchungaji
|
||
|
|
||
|
Yakobo anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa "mchungaji". Hii inasisitiza ya kwamba Yahwe anawaongoza na kuwalinda watu wake.
|
||
|
|
||
|
# Mwamba
|
||
|
|
||
|
Yakobo anazungumzia kuhusu Yahwe kana kwamba alikuwa "Mwamba" ambao watu wanaweza kuupanda kutafuta usalama kutoka kwa maadui. Hii inasisitiza ya kwamba Yahwe hulinda watu wake.
|