forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
524 B
Markdown
12 lines
524 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaanza baraka za mwisho za Yakobo kwa wanawe. Hii inaendelea hadi 49:27. Baraka za Yakobo zinaandikwa kwa namna ya shairi.
|
||
|
|
||
|
# Kusanyikeni ninyi wenyewe na msikilize, enyi wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu
|
||
|
|
||
|
Sentensi mbili zinasema jambo moja kuweka msisitizo. "Njooni na msikilize kwa makini baba yenu"
|
||
|
|
||
|
# wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu.
|
||
|
|
||
|
Yakobo anajitambua katika lugha ya mtu wa utatu. Inaweza kusemwa katika lugha ya mtu wa kwanza. "wanangu. Nisikilizeni, baba yenu"
|