forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
652 B
Markdown
16 lines
652 B
Markdown
|
# kuuona uso wako tena
|
||
|
|
||
|
Hapa "uso" ina maana ya mtu mzima. "Kukuona mara nyingine"
|
||
|
|
||
|
# katikati ya magoti ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Yusufu alipowaweka wanawe juu ya mapaja ya Israeli au magotini ilikuwa ishara ya kwamba Israeli alikuwa akiwachukua. Hii iliwapa watoto hawa urithi maalumu kutoka kwa Yakobo.
|
||
|
|
||
|
# kisha akainama na uso wake juu ya nchi
|
||
|
|
||
|
Yusufu aliinama chini kuonyesha heshima kwa baba yake.
|
||
|
|
||
|
# Manase katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kulia wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Yusufu anawaweka wavulana ili kwamba Israeli aweze kuweka mkono wake wa kuume juu ya Manase. Manase alikuwa ndugu mkubwa na mkono wa kulia ilikuwa ishara ya kwamba angepokea baraka kubwa.
|