forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.0 KiB
Markdown
40 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Wakati wa kufa kwake Yakobo ulipokaribia
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia juu ya muda kana kwamba inasafiri na kutua mahali. "Muda wa Israeli kufariki ulipokaribia"
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa nimepata kibali machoni pako
|
||
|
|
||
|
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo. "Kama nimepata kibali na wewe" au "Kama nimekufurahisha"
|
||
|
|
||
|
# sasa
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.
|
||
|
|
||
|
# nimepata kibali
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba mtu amekubalika na mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# weka mkono wako chini ya paja langu
|
||
|
|
||
|
Tendo hili ni ishara ya kufanya ahadi ya dhati.
|
||
|
|
||
|
# unionyeshe uaminifu na kweli
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea ya "uaminifu"na "kweli" zinaweza kutafsiriwa kama vivumishi. "nitendee kwa namna ya uaminifu na kweli"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhari usinizike Misri
|
||
|
|
||
|
Neno "tafadhali" linaongeza msisitizo kwa ombi lake.
|
||
|
|
||
|
# Nitakapolala na baba zangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "kulala" ni njia ya upole ya kumaanisha kufa. "Nitakapokufa na kujiunga na wa familia yangu waliokufa kabla yangu"
|
||
|
|
||
|
# Niapie
|
||
|
|
||
|
"Niahidi" au "Fanya kiapo kwangu"
|
||
|
|
||
|
# akamwapia
|
||
|
|
||
|
"allimuahidi" au "alifanya kiapo kwake"
|