2019-05-21 20:17:16 +00:00
|
|
|
# Walikuwa wenye kuzaa na kuongezeka sana
|
|
|
|
|
|
|
|
Neno "kuongezeka" linaelezea jinsi walivyokuwa "wamezaana". "Walikuwa na watoto wengi sana"
|
|
|
|
|
|
|
|
# Walikuwa wenye kuzaa
|
|
|
|
|
|
|
|
Hapa "kuzaa" ina maana ya kufanikiwa au kupata watoto.
|
|
|
|
|
|
|
|
# miaka kumi na saba
|
|
|
|
|
|
|
|
"miaka 17"
|
|
|
|
|
|
|
|
# kwa hiyo miaka ya maisha ya Yakobo ilikuwa miaka mia moja arobaini na saba
|
|
|
|
|
2021-09-10 19:21:44 +00:00
|
|
|
miaka saba - "kwa hiyo Yakobo aliishi hadi umri wa miaka 147"
|