forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
510 B
Markdown
20 lines
510 B
Markdown
|
# msijemkagombana
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "msibishane" na 2) "msiwe na hofu"
|
||
|
|
||
|
# Wakapanda kutoka Misri
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kawaida kutumia neno "panda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.
|
||
|
|
||
|
# ndiye mtawala juu ya nchi yote ya Misri
|
||
|
|
||
|
Hapa "nchi ya Misri" ina maana ya watu wa Misri. "anatawala watu wote wa Misri"
|
||
|
|
||
|
# moyo wake ulishikwa na mshangao
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" ina maana ya mtu mzima. "na alishtuka" au "na alishangazwa sana"
|
||
|
|
||
|
# hakuwaamini walichomuambia
|
||
|
|
||
|
"hakupokea kile walichosema kilikuwa ni cha kweli"
|