forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
903 B
Markdown
24 lines
903 B
Markdown
|
# kuwahifadhi kama masalia duniani
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba wewe na familia yenu msipotee kutoka duniani" au "kuhakikisha vizazi vyako vinaendelea kuishi"
|
||
|
|
||
|
# kuwaweka hai kwa ukombozi mkuu
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea "ukombozi" inaweza kuwekwa kama "kuokoa". "kukuweka hai kwa kuwaokoa kwa njia ya juu"
|
||
|
|
||
|
# amenifanya baba kwa Farao
|
||
|
|
||
|
Yusufu kumshauri na kumsaidia Farao inazungumziwa kana kwamba Yusufu alikuwa baba wa Farao. "amenifanya niwe kiongozi kwa Farao" au "amenifanya kuwa mshauri mkuu kwa Farao"
|
||
|
|
||
|
# nyumba yake yote
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" ina maana ya watu wanaoishi ndani ya kasri yake. "miongoni mwa nyumba yake yote" au "kati ya wote wa kasri yake"
|
||
|
|
||
|
# mtawala wa nchi yote ya Misri
|
||
|
|
||
|
Hapa "nchi" ina maana ya watu. "mtawala juu ya watu wote wa Misri"
|
||
|
|
||
|
# mtawala
|
||
|
|
||
|
Hapa Yusufu anamanisha ya kwamba yeye ni mtawala katika nafasi ya pili kutoka kwa Farao, mfalme wa Misri. Taarifa hii inayoeleweka inaweza kuwekwa wazi.
|