forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
442 B
Markdown
20 lines
442 B
Markdown
|
# Njaa ilikuwa kali katika nchi
|
||
|
|
||
|
Neno "Kaanani" linaeleweka. Taarifa hii inaweza kuwekwa wazi. "Njaa ilikuwa kali katika nchi ya Kaanani"
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# walipokuwa wametumia chakula
|
||
|
|
||
|
"Yakobo na familia yake walipokuwa wamekula"
|
||
|
|
||
|
# walichokitoa
|
||
|
|
||
|
"wana wakubwa wa Yakobo walileta"
|
||
|
|
||
|
# mtununulie
|
||
|
|
||
|
Hapa "mtununulie" ina maana ya Yakobo, wanawe, na familia yake iliyobaki.
|