forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
424 B
Markdown
20 lines
424 B
Markdown
|
# Akawambia
|
||
|
|
||
|
"Yusufu akawaambia ndugu zake"
|
||
|
|
||
|
# Hapana, mmekuja kuangalia sehemu za nchi
|
||
|
|
||
|
Maana kamili inaweza kuwekwa wazi. "Hapana, mmekuja kujua ni wapi hatujalinda nchi yetu ili kwamba muweze kutuvamia"
|
||
|
|
||
|
# ndugu kumi na wawili
|
||
|
|
||
|
"ndugu 12"
|
||
|
|
||
|
# Tazama, mdogo
|
||
|
|
||
|
"Tusikilize, mdogo". Neno "Tazama" linatumika kusisitiza kile walichosema baadae.
|
||
|
|
||
|
# mdogo yupo na baba yetu leo hii
|
||
|
|
||
|
"kwa sasa ndugu yetu mdogo yupo na baba yetu"
|