forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
388 B
Markdown
16 lines
388 B
Markdown
|
# Ushauri huu ukawa mwema machoni pa Farao na machoni pa watumishi wake wote
|
||
|
|
||
|
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "Farao na watumishi wake walifikiri huu ulikuwa mpango mzuri"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya watumishi wa Farao.
|
||
|
|
||
|
# mtu kama huyu
|
||
|
|
||
|
"mtu kama vile Yusufu alivyomfafanua"
|
||
|
|
||
|
# ambaye ndani yake kuna Roho wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"ambaye Roho wa Mungu anaishi ndani mwake"
|