forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
931 B
Markdown
44 lines
931 B
Markdown
|
# wasiopendeza na waliokonda
|
||
|
|
||
|
"dhaifu na nyembamba"
|
||
|
|
||
|
# wanapendeza na walionenepa
|
||
|
|
||
|
"yenye afya na iliyolishwa vizuri"
|
||
|
|
||
|
# akaamka
|
||
|
|
||
|
"aliamshwa"
|
||
|
|
||
|
# mara ya pili
|
||
|
|
||
|
Neno "mara ya pili" ni mpangilio wa namba. "tena"
|
||
|
|
||
|
# Tazama, masuke saba
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba Farao alishangazwa kwa kile alichokiona.
|
||
|
|
||
|
# masuke ya nafaka
|
||
|
|
||
|
Vichwa ni sehemu ya mmea wa mahindi ambao mbegu huota.
|
||
|
|
||
|
# yalichipua katika mche mmoja
|
||
|
|
||
|
"yaliota katika shina moja" Shina ni sehemu nene au ndefu ya mmea.
|
||
|
|
||
|
# katika mche mmoja, mema na mazuri
|
||
|
|
||
|
"katika mche mmoja na ilikuwa yenye afya na nzuri"
|
||
|
|
||
|
# membamba na yaliyokaushwa na upepo wa mashariki
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo ilikuwa nyembamba na kuchomwa kwa sababu ya upepo wa joto kutoka mashariki"
|
||
|
|
||
|
# upepo wa mashariki
|
||
|
|
||
|
Upepo kutoka mashariki ulivuma kutoka jangwani. Joto la upepo wa mashariki mara kwa mara ulikuwa wenye uharibifu.
|
||
|
|
||
|
# yakachipua
|
||
|
|
||
|
"yaliota" au "kukua"
|