forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
483 B
Markdown
24 lines
483 B
Markdown
|
# ushungi
|
||
|
|
||
|
kitambaa chembamba sana kinachotumika kufunika kichwa na uso wa mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# vazi la ujane wake
|
||
|
|
||
|
"ambayo wajane huvaa"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kundini
|
||
|
|
||
|
"kutoka katika kundi lake"
|
||
|
|
||
|
# Mwadulami
|
||
|
|
||
|
"Adulami" ni jina la kijiji ambapo Hiramu aliishi.
|
||
|
|
||
|
# aichukue rehani
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "chukua rehani"
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika mkono wa mwanamke
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unasisitiza ya kwamba vilikuwa katika umiliki wake. Mkono wa mwanamke una maana ya mwanamke. "kutoka kwa mwanamke"
|