forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
575 B
Markdown
24 lines
575 B
Markdown
|
# Je ndugu zako hawalichungi kundi huko Shekemu?
|
||
|
|
||
|
Israeli anatumia swali kuanza mazungumzo. Hii inaweza kuandikwa kama kauli. "Ndugu zako wanachunga kundi huko Shekemu".
|
||
|
|
||
|
# Njoo
|
||
|
|
||
|
Hapa inasemekana ya kwamba Israeli anamuomba Yusufu kujiandaa kuondoka kuonana na ndugu zake. "Jiandae"
|
||
|
|
||
|
# nipo tayari
|
||
|
|
||
|
Yupo tayari kuondoka. "Nipo tayari kuondoka"
|
||
|
|
||
|
# Akamwambia
|
||
|
|
||
|
"Israeli akamwambia Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# uniletee neno
|
||
|
|
||
|
Israeli anamtaka Yusufu kurudi na kumuambia kuhusu kaka zake na hali ya mifugo. "njoo uniambie utakakikuta" au "niletee taarifa"
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika bonde
|
||
|
|
||
|
"kutoka bondeni"
|