forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
306 B
Markdown
12 lines
306 B
Markdown
|
# Yusufu akaota ndoto, na akawambia ndugu zake. Wakamchukia zaidi
|
||
|
|
||
|
Huu ni ufupi wa matukio ambayo yatatokea katika 37:6-11.
|
||
|
|
||
|
# Wakamchukia zaidi
|
||
|
|
||
|
"Na kaka zake Yusufu walimchukia zaidi ya walivyomchukia hapo awali"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhari sikilizeni ndoto hii niliyoiota
|
||
|
|
||
|
"Tafadhali sikilizeni ndoto hii niliyoipata"
|