forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
740 B
Markdown
28 lines
740 B
Markdown
|
# Samla
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake
|
||
|
|
||
|
Shauli aliishi Rehobothi. Rehobothi ilikuwa karibu na Mto Frati. Taarifa hii inaweza kuwekwa wazi. "kisha Shauli akatawala katika nafasi yake. Alikuwa akitoka Rehobothi ambayo ipo karibu na Mto Frati"
|
||
|
|
||
|
# Shauli ... Baali Hanani ... Akbori ... Hadari ... Matredi ... Me Zahabu.
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
||
|
|
||
|
# Rehobothi ... Pau
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali.
|
||
|
|
||
|
# Jina la mji wake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"
|
||
|
|
||
|
# binti wa Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
|
||
|
|
||
|
Taarifa ambayo haionekani inaweza kuongezwa. "alikuwa binti wa Matredi, na mjukuu wa Me Zahabu"
|
||
|
|
||
|
# Mehetabeli
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamke.
|