forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
564 B
Markdown
24 lines
564 B
Markdown
|
# Hivi ndivyo vizazi vya Esau
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:9-43. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau"
|
||
|
|
||
|
# katika nchi ya mlima Seiri
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya mlima wa Seiri. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "aliyeishi katika mlima wa nchi ya Seiri"
|
||
|
|
||
|
# Elifazi ... Reueli
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wana wa Esau.
|
||
|
|
||
|
# Ada ... Basemathi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wake wa Esau.
|
||
|
|
||
|
# Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi ... Amaleki
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wana wa Elifazi.
|
||
|
|
||
|
# Timna
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la suria wa Elifazi.
|