forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
669 B
Markdown
36 lines
669 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaanza sehemu mpya ya simulizi. Mwandishi anaelezea kile Yakobo alichofanya baada ya kupumzika Sukothi.
|
||
|
|
||
|
# Yakobo alipokuja kutoka Padani Aramu
|
||
|
|
||
|
"Baada ya Yakobo kuondoka Padani Aramu"
|
||
|
|
||
|
# Yakobo ... alipokuja ... Akapiga kambi
|
||
|
|
||
|
Hii inamtaja Yakobo pekee kwa sababu ni kiongozi wa familia. Inasemekana ya kwamba familia yake ilikuwa pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
# Akapiga kambi karibu
|
||
|
|
||
|
"Aliweka kambi yake karibu"
|
||
|
|
||
|
# sehemu ya ardhi
|
||
|
|
||
|
"kipande cha ardhi"
|
||
|
|
||
|
# Hamori
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# baba wa Shekemu
|
||
|
|
||
|
Shekemu ni jina la mji na jina la mwanamume.
|
||
|
|
||
|
# mia
|
||
|
|
||
|
"100"
|
||
|
|
||
|
# El Elohe Israeli
|
||
|
|
||
|
"Jina la El Elohe Israeli lina maana ya "Mungu, Mungu wa Israeli"
|