forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
504 B
Markdown
20 lines
504 B
Markdown
|
# Kwa nini kufanya hivyo?
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatumia swali kuweka msisitizo ya kwamba Esau hahitaji kubakiza wanamume. "Usifanye hivyo!" au "Hahitaji kufanya hivyo!"
|
||
|
|
||
|
# Bwana wangu amekuwa
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole na maalumu ya kumaanisha Esau. "Wewe, bwana wangu, umekuwa"
|
||
|
|
||
|
# Sukothi
|
||
|
|
||
|
"Jina la Sukothi lina maana ya "hifadhi".
|
||
|
|
||
|
# akajijengea nyumba
|
||
|
|
||
|
Inasemekana ya kwamba nyumba ni ya familia yake pia. "alijenga nyumba kwa ajili yake mwenyewe na familia yake"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya mifugo wake
|
||
|
|
||
|
"kwa wanyama aliowatunza"
|