forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
578 B
Markdown
28 lines
578 B
Markdown
|
# Labani akamwambia
|
||
|
|
||
|
"Labani akamwambia Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa nimepata kibali machoni pako
|
||
|
|
||
|
Msemo wa "machoni pako" ni lugha inayomaanisha mawazo na maoni ya Yakobo. Iwapo nimepata kibali na wewe" au "Iwapo unapendezwa na mimi"
|
||
|
|
||
|
# nimepata kibali
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja yenye maana ya mtu amekubalika na mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# subiri, kwa sababu
|
||
|
|
||
|
"tafadhali kaa, kwa sababu"
|
||
|
|
||
|
# nimejifunza kwa kutumia uaguzi
|
||
|
|
||
|
"Nimegundua kwa desturi yangu ya kiroho na uchawi"
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yako
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu yako"
|
||
|
|
||
|
# Taja ujira wako
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwekwa wazi. "Niambie nahitaji kukulipa kiasi gani kukuweka hapa"
|