forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
498 B
Markdown
32 lines
498 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu Esau.
|
||
|
|
||
|
# Esau akaona
|
||
|
|
||
|
"Esau akagundua"
|
||
|
|
||
|
# wanawake wa Kanaani hawakumpendeza Isaka baba yake
|
||
|
|
||
|
"baba yake Isaka hakuidhinisha wanawake wa Kaanani"
|
||
|
|
||
|
# wanawake wa Kanaani
|
||
|
|
||
|
"binti wa Kaanani" au "wanawake wa Kaanani"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu hiyo"
|
||
|
|
||
|
# mbali na wake aliokuwa nao
|
||
|
|
||
|
"kwa kuongeza juu ya wake aliokuwa nao tayari"
|
||
|
|
||
|
# Mahalathi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mmoja wa binti wa Ishmaeli.
|
||
|
|
||
|
# Nebayothi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mmoja wa vijana wa Ishmaeli.
|