forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
516 B
Markdown
28 lines
516 B
Markdown
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upendo ya mwana kuongea kwa baba yake.
|
||
|
|
||
|
# Nipo hapa
|
||
|
|
||
|
"Ndio, nasikiliza" au "Ndio, kuna nini?"
|
||
|
|
||
|
# Mwanangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upendo ya baba kuongea kwa mwanawe.
|
||
|
|
||
|
# moto
|
||
|
|
||
|
Hapa "moto" ina maana ya sufuria yenye mkaa unaowaka au tochi au taa. "kitu cha kuanzishia moto"
|
||
|
|
||
|
# mwanakondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa
|
||
|
|
||
|
"mwanakondoo ambaye utamtoa kama sadaka wa kuteketezwa"
|
||
|
|
||
|
# Mungu mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba Mungu atatoa mwanakondoo.
|
||
|
|
||
|
# atatupatia
|
||
|
|
||
|
"atatupatia sisi"
|