forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
499 B
Markdown
24 lines
499 B
Markdown
|
# akamwambia Abrahamu
|
||
|
|
||
|
"Sara akamwambia Abrahamu"
|
||
|
|
||
|
# Mfukuze
|
||
|
|
||
|
"mfukuze aende zake" au "mtoweshe"
|
||
|
|
||
|
# mwanamke huyu mtumwa pamoja na mtoto wake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Hajiri na Ishmaeli. Sara hakuwatambua kwa majina kwa sababu alikuwa amekasirishwa nao.
|
||
|
|
||
|
# pamoja na mwanangu Isaka
|
||
|
|
||
|
"pamoja na mwanangu Isaka"
|
||
|
|
||
|
# Jambo hili likamuhuzunisha sana Abrahamu
|
||
|
|
||
|
"Abrahamu alikuwa na huzuni kuhusu kile alichosema Sara"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya mwanawe
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ilikuwa inahusu mwanawe" Inamaanisha mwanawe, Ishameli"
|