forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
612 B
Markdown
20 lines
612 B
Markdown
|
# mia moja
|
||
|
|
||
|
"100"
|
||
|
|
||
|
# Mungu amenifanya nicheke
|
||
|
|
||
|
Sara alikuwa akicheka kwa sababu alishangazwa na alikuwa na furaha. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Mungu alinisababisha nicheke kwa furaha"
|
||
|
|
||
|
# kila mtu atakaye sikia
|
||
|
|
||
|
Kile ambacho watu wangesikia kinaweza kuwekwa wazi. "kila mtu asikiaye kuhusu kile Mungu amefanya kwangu"
|
||
|
|
||
|
# Nani angesema kwa Abraham kwamba Sara atalea mtoto
|
||
|
|
||
|
Hili swali la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Hakuna ambaye angeweza kusema kwa Abrahamu ya kwamba Sara atalea watoto"
|
||
|
|
||
|
# atalea mtoto
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ya upole ikimaanisha kunyonyesha watoto. "mnyonyeshe mtoto maziwa yake mwenyewe"
|